mda wa kilimo ni sasa!
Kilimo Tanzania ni Tovuti no1, Tuliojikita na kukupa nyenzo mbali mbali wewe kama Mkulima na mfugaji katika kukupatia Ujuzi pia Ustadi katika Nyanja na Sekta hii , Pitia Nyaraka zetu uweze jifunza zaidi.
NYARAKA TULIZO NAZO
KILIMO BORA CHA BIASHARA
Wewe kama Mkulima inakupasa kupata faida kutokana na Jasho lako na Mbinu mbali mbali unazozitumia katika kilimo, Hali ya Hewa ,zama na Nyakati zimebadilika – Hivyo inabidi kusoma na kutia juhudi ili uweze nufaika na Kilimo unachofanya. Kwa maelezo na kina tumeandika nyaraka hizi kuku saidia.
ufugaji wa kisasa
Uwanja wa Ufugaji ni Mkubwa na hakuna haujuaye yote, Pitia mara kwa mara vitabu na nyaraka zitakazowekwa ili uweze kuwa na elimu endelevu, katika sekta ya Ufugaji
MAGONJWA NA TIBA
Katika swala zima la ufugaji na Kilimo tumeona tujikite pia kweye magonjwa ambayo yanaweza athiri uzalishaji wetu katika kilimo au Ukuaji na ongezeko la Wanyama na Ndege tunaofuga. Yajua Magonjwa na Tiba hizo kupitia Eneo ili.
Wasomaji wetu wanasemaje

Uwepo wenu kna Eliu Yenu nimeipenda sana., Lazima nipige Pesa mwaka Huu kwenye Kilimo cha Karoti.
Bahati George

Nashukuru sana,Endeleeni kukaza Buti,Maana Elimu hii tunaipata hapa bure na imenisaidia sana
Alfred Malosha
pata nyaraka mpya hapa
Eneo maalumu utakosoma Nyaraka mpya kwa Uharaka ni Hapa ,Pitia hii

Kilimo bora cha Mtama
UTANGULIZI Mtama ni miongoni mwa mazao ya nafaka yanayolimwa kwa wingi nchini na duniani kote. Zao hili hulimwa kwa ajili ya chakula na biashara. Mtama

KANUNI NA ULIMAJI WA KILIMO BORA CHA ZAO LA MAHINDI.
Misingi na kanuni za kilimo bora. Neno Msingi lina maana ya mwanzo wa kufanya shughuli yeyote inayokusudiwa ili kuwezakufikia malengo, kwa hiyo katika kilimo ipo
MAGONJWA MBALIMBALI NA TIBA KWA SUNGURA
SUNGURA ni wanyama wastahimilivu wa mazingira mbalimbali kiasi cha kushindwa kuugua ovyo kama ilivyo kwa wanyama wengine wa kufuga, lakini wanyama hawa ni laini, kiasi

KILIMO BORA CHA KAROTI
UTANGULIZI Karoti ni zao la mbogamboga ambalo ni zao mzizi, kwa kawaida hupatikana katika rangi ya machungwa, zambarau, nyeusi, nyekundu, nyeupe na njano. Karoti za

Kilimo Bora cha maharage
UTANGULIZI Maharage ni moja kati ya mazao ambayo yanalimwa sana na ni moja kati ya mazao yanayo waongezea kipato wakulima wengi sana nchini Tanzania lakn

Huu ni mfano wa Kuigwa
Shamba la kilimo cha umwagiliaji cha Mbogamboga la Ngongoseke lililoko katika kijiji cha Nsola wilayani Magu ni mfano wa kuigwa katika matumizi ya ziwa

KILIMO CHA VIAZI VITAMU (SWEET POTATOES)
Viazi vitamu ni moja kati ya mazao makuu ya mizizi nchini Tanzania ambalo hulimwa kwa ajili ya chakula. Zao hili ni moja kati ya mazao ya
MAGONJWA MBALIMBALI YA NG’OMBE – Jifunze Maarifa ya Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
MINYOO YA NG’OMBE: Ugonjwa wa minyoo husababisha hasara kwa mfugaji wa ng’ombe . Utafiti unaonyesha kuwa ng’ombe wengi wanaathirika na minyoo hiyo hupunguza uzalishaji. Aidha
KILIMO BORA CHA VIAZI MVIRINGO
UTANGULIZI Viazi mviringo ni zao muhimu la chakula na biashara katika nchi nyingi zinazoendelea. viazi husitawi vizuri sehemu zenye miinuko kati ya mita 1300 hadi

Fahamu zaidi kuhusu sumu kuvu
Tanzania ni nchi iliyo katika ukanda wa kitropiki, ambapo kiasi kikubwa cha sumu kuvu huzalishwa hasa katika mazao ya nafaka kama vile mahindi, karanga na

KILIMO BORA CHA KOROSHO (CASHEW NUT)
UTANGULIZI koroshoo ni zao ambalo chimbuko lake ni Portuguese na baadae karne ya 16 ndipo lilipo fika afrika katika nchi ya msumbiji na baadae likafika
Kilimo Cha Papai
Papai ni moja ya tunda mashuhuli linatumika kwa kiasi kikubwa nchini Tanzania. Pia tunda hili linaweza kuwa na faida mbali na afya, katika kukuza uchumi

Pakua: Kitabu cha Magonjwa Ya Kuku 🐔
Pata Nakala yako bure yatambue na uweze kupambana na Magonjwa Makuu ya Kuku,Tiba na Kinga.KIlicho andaliwa na wataalamu wa Kilimo na Ufugaji.