mda wa kilimo ni sasa!
Kilimo Tanzania ni Tovuti no1, Tuliojikita na kukupa nyenzo mbali mbali wewe kama Mkulima na mfugaji katika kukupatia Ujuzi pia Ustadi katika Nyanja na Sekta hii , Pitia Nyaraka zetu uweze jifunza zaidi.
NYARAKA TULIZO NAZO
KILIMO BORA CHA BIASHARA
Wewe kama Mkulima inakupasa kupata faida kutokana na Jasho lako na Mbinu mbali mbali unazozitumia katika kilimo, Hali ya Hewa ,zama na Nyakati zimebadilika – Hivyo inabidi kusoma na kutia juhudi ili uweze nufaika na Kilimo unachofanya. Kwa maelezo na kina tumeandika nyaraka hizi kuku saidia.
ufugaji wa kisasa
Uwanja wa Ufugaji ni Mkubwa na hakuna haujuaye yote, Pitia mara kwa mara vitabu na nyaraka zitakazowekwa ili uweze kuwa na elimu endelevu, katika sekta ya Ufugaji
MAGONJWA NA TIBA
Katika swala zima la ufugaji na Kilimo tumeona tujikite pia kweye magonjwa ambayo yanaweza athiri uzalishaji wetu katika kilimo au Ukuaji na ongezeko la Wanyama na Ndege tunaofuga. Yajua Magonjwa na Tiba hizo kupitia Eneo ili.
Wasomaji wetu wanasemaje

Uwepo wenu kna Eliu Yenu nimeipenda sana., Lazima nipige Pesa mwaka Huu kwenye Kilimo cha Karoti.
Bahati George

Nashukuru sana,Endeleeni kukaza Buti,Maana Elimu hii tunaipata hapa bure na imenisaidia sana
Alfred Malosha
pata nyaraka mpya hapa
Eneo maalumu utakosoma Nyaraka mpya kwa Uharaka ni Hapa ,Pitia hii
KILIMO BORA CHA VIAZI MVIRINGO
UTANGULIZI Viazi mviringo ni zao muhimu la chakula na biashara katika nchi nyingi zinazoendelea. viazi husitawi vizuri sehemu zenye miinuko kati ya mita

Hizi ndizo Faida ya kutumia mbolea katika kilimo cha maharage
Kuna faida kubwa sana pale unapotumia Mbolea katika kilimo cha zao lolote, Watu wengi wamekuwa wakipuuza kutumia mbolea katika kilimo cha maharage huku baadhi yao
MKOA WA PWANI NA MKAKATI WA KUKUZA ZAO LA MUHOGO
Mkoa wa Pwani ni moja ya mikoa ya Tanzania bara inayoongozwa kwa uzalishaji mkubwa wa zao la Muhogo. Mikoa mingine ni Tanga, Lindi, Mtwara, Morogoro
MAGONJWA MBALIMBALI NA TIBA KWA SUNGURA
SUNGURA ni wanyama wastahimilivu wa mazingira mbalimbali kiasi cha kushindwa kuugua ovyo kama ilivyo kwa wanyama wengine wa kufuga, lakini wanyama hawa ni laini, kiasi

Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji kama mradi rahisi zaidi ya unavyofikria
MAHITAJI Kuku(tetea) 10 na Jogoo 01 Banda bora Vyombo vya chakula na maji Chakula bora Madawa na chanjo kwajili ya magonjwa Chanzo cha nishati joto

CORONA VIRUS EDUCATIONAL POST
Naomba twende polepole Vyanzo vya vifo duniani na idadi (WHO, 2019) Heart diseases – mil 9.43Stroke – mil 5.73COPD – mil 3.04Pumu – mil 2.96Alzheimer’s

kilimo cha korosho.-Lindi
Mkurugenzi wa manispaa ya Lindi anawaalika watanzania wote wenye nia ya kulima korosho kuja katika halmashauri yake na kuunga mkono jitihada hizo. Mpaka sasa Halmashauri

Pilipili Hoho: Umwagiliaji, Mbolea na Uvunaji
Ni vyema umwagiliaji wa bustani uzingatie hatua za ukuaji wa mimea bustanini, hali ya hewa na uwezo wa udongo kutunza maji. Mahitaji ya maji kwa

Kilimo Cha Zao La Choroko
Choroko ni zao la chakula na biashara lenye kiasi kikubwa cha protini na madini ya phosphorus na calicium.Zao hili likilimwa vizuri hutoa mavuno kati ya

KILIMO CHA BAMIA
BAMIA Asili ya mboga hii ni Afrika ya Kati na ya Mashariki, lakini kwa sasa zao hili limekwisha enea katika sehemu nyingi za kitropiki, kama
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI -kuidhinishwa matumizi ya aina mpya za mbegu za mazao
Kamati ya Taifa ya kupitisha Mbegu mpya (National Variety Release Committee-NVRC) imepitisha matumizi ya aina 25 ya mbegu mpya za mazao mbalimbali ya kilimo. Mazao
TAJIRIKA NA ZAO LA SOYA (GLYCINE MAX) – PART 1
Soya au Soybean (kwa kiingereza) ni zao la jamii ya mikunde. Kwa kitaalam linaitwa Glycine max. Zao hilo asili yake ni nchi ya China ambako lilianza

Pakua: Kitabu cha Magonjwa Ya Kuku 🐔
Pata Nakala yako bure yatambue na uweze kupambana na Magonjwa Makuu ya Kuku,Tiba na Kinga.KIlicho andaliwa na wataalamu wa Kilimo na Ufugaji.