mda wa kilimo ni sasa!
Kilimo Tanzania ni Tovuti no1, Tuliojikita na kukupa nyenzo mbali mbali wewe kama Mkulima na mfugaji katika kukupatia Ujuzi pia Ustadi katika Nyanja na Sekta hii , Pitia Nyaraka zetu uweze jifunza zaidi.
NYARAKA TULIZO NAZO
KILIMO BORA CHA BIASHARA
Wewe kama Mkulima inakupasa kupata faida kutokana na Jasho lako na Mbinu mbali mbali unazozitumia katika kilimo, Hali ya Hewa ,zama na Nyakati zimebadilika – Hivyo inabidi kusoma na kutia juhudi ili uweze nufaika na Kilimo unachofanya. Kwa maelezo na kina tumeandika nyaraka hizi kuku saidia.
ufugaji wa kisasa
Uwanja wa Ufugaji ni Mkubwa na hakuna haujuaye yote, Pitia mara kwa mara vitabu na nyaraka zitakazowekwa ili uweze kuwa na elimu endelevu, katika sekta ya Ufugaji
MAGONJWA NA TIBA
Katika swala zima la ufugaji na Kilimo tumeona tujikite pia kweye magonjwa ambayo yanaweza athiri uzalishaji wetu katika kilimo au Ukuaji na ongezeko la Wanyama na Ndege tunaofuga. Yajua Magonjwa na Tiba hizo kupitia Eneo ili.
Wasomaji wetu wanasemaje

Uwepo wenu kna Eliu Yenu nimeipenda sana., Lazima nipige Pesa mwaka Huu kwenye Kilimo cha Karoti.
Bahati George

Nashukuru sana,Endeleeni kukaza Buti,Maana Elimu hii tunaipata hapa bure na imenisaidia sana
Alfred Malosha
pata nyaraka mpya hapa
Eneo maalumu utakosoma Nyaraka mpya kwa Uharaka ni Hapa ,Pitia hii

UFAHAMU MFUMO WA KILIMO SHADIDI
Mfumo wa kilimo shadidi cha mpunga (MKiShaMpunga) unaojulikana kwa Kimombo kama ‘Sytem of Rice Intensification’ au ‘SRI’ kwa ufupi unajumuisha mbinu vumbuzi za kilimo ambazo

JINSI YA KUTATUA CHANGAMOTO YA SOKO KWENYE KILIMO CHA BIASHARA
Karibu kwenye makala yetu ya leo ya USHAURI WA CHANGAMOTO ambapo tunaangalia zile changamoto zinazotuzuia kufikia malengo yetu tuliyojiwekea kwenye maisha. Hakuna njia iliyonyooka, kila

YAFAHAMU MAGONJWA HATARI YA NYANYA NA DAWA ZAKE
Pamoja na umuhimu wake, magonjwa ya nyanya yamekuwa ni kikwazo kikubwa sana katika uzalishaji na ubora wa matunda ya nyanya. Sasa ili mkulima aweze kupata

FANYA YAFUATAYO KUEPUKA MAGONJWA YA KUKU YA MLIPUKO.
Mlipuko wa magonjwa ni moja ya sababu za hasara kubwa kwa wafugaji na vifo vinavyotokea kwa wakati mmoja. Pindi mfugaji anapokumbwa na janga la vifo

JIFUNZE MATUNZO MAZURI KWA MBWA WA KUFUNGWA
Mnyama huyu huaminika ndiye mwaminifu zaidi kati ya wanyama wote wanaofugwa nyumbani Kuna wale wanaomfuga pia kwa sababu humchukulia kama ‘kipenzi’ chao (pet). Je, wajua

UFAHAMU UGONJWA WA MAFUA YA KUKU KIUNDANI ZAIDI.
MAGONJWA YA KUKU/TIBA/KINGA. Habari ya uzima ndugu mfugaji, ni matumaini yangu u mzima. Mimi ni mzima na leo tunaanza somo letu la magonjwa ya kuku,

KANUNI ZA KUANDAA KITALU CHA MBOGAMBOGA.
Tengeneza tuta la kubwa wa 1m x 2m (ama urefu unaoona wewe kuwa unakufaaa ila tu upana ubaki kuwa 1mita) . Urefu na idadi ya

HIZI NDIZO TOFAUTI YA ASALI YA NYUKI WADOGO NA ASALI YA NYUKI WAKUBWA
Watuwengihuwatunatumiaasalipasipokujuawametokananaasaliwaainagani, hivyokilaasaliambayounaitumiakuanzialeonilazimaujuewanatakonananyukiwaainagani. AsalizaNYUKI WAKUBWA na WADOGO zinatofautianakatika mambo kadhaanahvyonimuhimukujuatofautihizokablahujanunuailikuanauhakika. NYUKI WADOGO 1. Ni nyepesizaidikwaniinakiwango cha majikuanziaasilimia 24 2. Ina ladhaya UCHACHU ingawanitamusana. 3. Mara nyingiinarangiya KAHAWIA ILIYOKOLEA inayoendakwenye WEUSI

BANDA LA KULELEA VIFARANGA
Ukipenda kujenga nyumba ya vifaranga itafaa ufikirie yafuatayo:- Nyumba ya vifaranga iwe karibu na nyumba yako mwenyewe ili uweze kuwakagua vifaranga wako mara kwa mara.

MCHANGANUAO WA KILIMO BORA CHA NANASI NA FAIDA UTAZOZIPATA
Leo naomba niweke mkusanyiko wa mada za kilimo.. nimeamua kufanya hivi ili kusaidia wale ambao ni wanachama wapya na wanachama wengine ambao wanataka kujikumbusha mada

MAAJABU YA SHUBIRI MWITU KAMA TIBA KWA KUKU
Kuku ni moja ya miradi inayofanywa kwa wingi na watu wa kada mbalimbali, wakiwamo wakulima na wafugaji, na wanaofanya shughuli nyinginezo. Moja ya changamoto ambazo

MAMBO YA MSINGI YA KUKUMBUKA UKITAKA KUFANYA KILIMO CHA PILIPILI MBUZI.
Ili kupata mazao bora inabidi kuandaa shamba vizuri kwa kulisafisha na kuondoa mabaki yote ya mazao ya zamani na kuyachoma moto ili kuondoa mazalia ya

Pakua: Kitabu cha Magonjwa Ya Kuku 🐔
Pata Nakala yako bure yatambue na uweze kupambana na Magonjwa Makuu ya Kuku,Tiba na Kinga.KIlicho andaliwa na wataalamu wa Kilimo na Ufugaji.