mda wa kilimo ni sasa!

Kilimo Tanzania – Tovuti Nambari 1!
Hapa ndipo unapopata nyenzo muhimu kama mkulima na mfugaji ili kukuza ujuzi na ustadi wako katika sekta hii ya kilimo na ufugaji. Tembelea nyaraka zetu ili upate maarifa zaidi na uweze kujifunza kwa undani zaidi

KILIMO

Jifunze Kilimo Biashara,Faida na Bei za Masoko

UFUGAJI

Pata Elimu ya Ufugaji wa Kisasa, Magonjwa na Tiba

VITABU

Soma Vitabu vilivo andaliwa na Wataalamu wetu Kupitia Duka la Mtandaoni

NYARAKA TULIZO NAZO

KILIMO BORA CHA BIASHARA

Wewe kama Mkulima inakupasa kupata faida kutokana na Jasho lako na Mbinu mbali mbali unazozitumia katika kilimo, Hali ya Hewa ,zama na Nyakati zimebadilika – Hivyo inabidi kusoma na kutia juhudi ili uweze nufaika na Kilimo unachofanya. Kwa maelezo na kina tumeandika nyaraka hizi kuku saidia.

ufugaji wa kisasa

Uwanja wa Ufugaji ni Mkubwa na hakuna haujuaye yote, Pitia mara kwa mara vitabu na nyaraka zitakazowekwa ili uweze kuwa na elimu endelevu, katika sekta ya Ufugaji

MAGONJWA NA TIBA

Katika swala zima la ufugaji na Kilimo tumeona tujikite pia kweye magonjwa  ambayo yanaweza athiri uzalishaji wetu katika kilimo au Ukuaji na ongezeko la Wanyama na Ndege tunaofuga. Yajua Magonjwa na Tiba hizo kupitia Eneo ili. 

Wasomaji wetu wanasemaje

Uwepo wenu kna Eliu Yenu nimeipenda sana., Lazima nipige Pesa mwaka Huu kwenye Kilimo cha Karoti.

Bahati George

Nashukuru sana,Endeleeni kukaza Buti,Maana Elimu hii tunaipata hapa bure na imenisaidia sana

Alfred Malosha

pata nyaraka mpya hapa

Eneo maalumu utakosoma Nyaraka mpya kwa Uharaka ni Hapa ,Pitia hii

Nafaka

Kilimo Safi cha Mahindi

MAHINDI ni nafaka ambayo ni chakula muhimu sana na huzalishwa na kutumika kwa wingi katika mataifa ya Afrika yaliyomo kusini mwa jangwa la Sahara. Ni

Read More »
Nyanya

Kilimo bora cha nyanya -Tz

Utangulizi Nyanya ni zao la mboga linalolimwa sehemu nyingi duniani kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na pia kama zao la biashara. Nyanya ni aina

Read More »
Kilimo

KILIMO BORA CHA TANGAWIZI

UTANGULIZI Tangawizi ni aina ya zao la kiungo ambalo sehemu inayotumika ni tunguu ( rhizome) ambalo huonekana kama mizizi ya mmea. Kwa jina la kitalamu ni Zingiber

Read More »
Kilimo

Kilimo bora cha Ndizi

Hapa Tanzania kilimo cha migomba kimekuwepo Kwa miaka mingi. Kilimo hiki ni maarufu sana kwa sababu zao la ndizi limekuwa likitumika kama chakula kikuu kwa

Read More »

Pakua: Kitabu cha Magonjwa Ya Kuku 🐔

Pata Nakala yako bure yatambue na uweze kupambana na Magonjwa Makuu ya Kuku,Tiba na Kinga.KIlicho andaliwa na wataalamu wa Kilimo na Ufugaji.

USISITE KUWASILIANA NASI KUPITIA UKURASA HUU