mda wa kilimo ni sasa!
Hapa ndipo unapopata nyenzo muhimu kama mkulima na mfugaji ili kukuza ujuzi na ustadi wako katika sekta hii ya kilimo na ufugaji. Tembelea nyaraka zetu ili upate maarifa zaidi na uweze kujifunza kwa undani zaidi
NYARAKA TULIZO NAZO
KILIMO BORA CHA BIASHARA
Wewe kama Mkulima inakupasa kupata faida kutokana na Jasho lako na Mbinu mbali mbali unazozitumia katika kilimo, Hali ya Hewa ,zama na Nyakati zimebadilika – Hivyo inabidi kusoma na kutia juhudi ili uweze nufaika na Kilimo unachofanya. Kwa maelezo na kina tumeandika nyaraka hizi kuku saidia.
ufugaji wa kisasa
Uwanja wa Ufugaji ni Mkubwa na hakuna haujuaye yote, Pitia mara kwa mara vitabu na nyaraka zitakazowekwa ili uweze kuwa na elimu endelevu, katika sekta ya Ufugaji
MAGONJWA NA TIBA
Katika swala zima la ufugaji na Kilimo tumeona tujikite pia kweye magonjwa ambayo yanaweza athiri uzalishaji wetu katika kilimo au Ukuaji na ongezeko la Wanyama na Ndege tunaofuga. Yajua Magonjwa na Tiba hizo kupitia Eneo ili.
Wasomaji wetu wanasemaje
Uwepo wenu kna Eliu Yenu nimeipenda sana., Lazima nipige Pesa mwaka Huu kwenye Kilimo cha Karoti.
Bahati George
Nashukuru sana,Endeleeni kukaza Buti,Maana Elimu hii tunaipata hapa bure na imenisaidia sana
Alfred Malosha
pata nyaraka mpya hapa
Eneo maalumu utakosoma Nyaraka mpya kwa Uharaka ni Hapa ,Pitia hii
MKULIMA NUFAIKA KWA KILIMO BORA CHA MIWA
Kilimo cha miwa ni kilimo chenye tija kwa mkulima, kilimo hiki kinaweza kufanywa na mtu yeyote yule aidha awe ameajieiwa au laaa! Jambo la msingi
TUMIA NJIA HII RAHISI UNAYOWEZA KUITUMIA KUZALISHA KUKU CHOTARA
Ufugaji wa kuku wa kienyeji chotara. Tunaposema chotara tuna maanisha ni mchanganyingo wa aina mbili za kuku. Mfano mchanganyiko wa kienyeji na kenbro wanajulikana kama
Ujue Muhogo
MUHOGO ni moja ya mazao ya mizizi na lenye umuhimu katika mazao makuu ya chakula baada ya zao la mahindi nchini Tanzania. Umuhimu wa zao
Kilimo Cha Maharage Ya Njano.
Kilimo cha maharage ni rahisi na kinalipa sana kikifanyika kwa utaalamu. Gharama nafuu na ushindani wa soko sio mkubwa sana. Huhitaji kusafiri, kinachofanyika ni kuwaita
NJIA SAHIHI ZA KUTUNZA MAYAI YA KUKU
Kwa kawaida kuku huanza kutetea(Kutoa mlio wa ishara ya kutaga) anapofikisha miezi sita hadi minane. Hivyo ni vyema viota viandaliwe mapema wakiwa na umri wa
JIKWAMUE KIUCHUMI KWA KILIMO BORA CHA NANASI
Nanasi ni tunda la kitropiki, linalopendwa na walaji wengi kwa sababu ya ladha yake tamu na harufu yake nzuri. Tunda hili laweza liwa mara tu
JINSI YA KUTUNZA BWAWA LA SAMAKI
JINSI YA KUTUNZA BWAWA LA SAMAKI : Mara unapopanda samaki kwenye bwawa, hakikisha unawatunza vizuri. Hakikisha bwawa limejaa maji wakati wote. Pima kiwango cha maji
Zao la Muhogo Laongeza Ufaulu kwa Wanafunzi Handeni
Kilimo cha zao la muhogo kimeongeza kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi na kipato kwa wakulima wilayani handeni Akiongea na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wakati wa
BANDA BORA LA SUNGURA – Jifunze Maarifa ya Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Ufugaji wa sungura unaweza kufanywa mahali popote. Wafugaji wengi wanatumia mabanda, maeneo ya nyuma ya nyumba au kwenye maghala yasiyotumika kama mahali sahihi pa kuweka
KILIMO CHA UYOGA
Kwa kuwa #uyoga upo wa aina mbalimbali, usitawishaji wake hutofautiana katika mahitaji yake, ikiwa ni pamoja na hali ya hewa, malighafi za #kuoteshea, urahisi wa
HIZI NDIZO AINA YA NYANYA UNAZOWEZA KUHIFADHI MUDA MREFU BILA KUHARIBIKA
a) Tengeru’97 ambayo ina sifa vifuatazo: Huzaa sana kutokana na wingi wa matunda na muda mrefu wa kuvuna, ambao hufikia michumo mikubwa kati ya 6-7
MBINU ZA KUZINGATIA KATIKA UANDAAJI WA CHAKULA KWA KUKU WAKO
1. MAJI Maji ni muhimu sana kwa kuku wawapo bandani. Wape maji ya kutosha kila wakati unapoona yanapungua/kuisha ili waendelee kuyeyusha chakula wanachokula Nna kupunguza joto
Pakua: Kitabu cha Magonjwa Ya Kuku 🐔
Pata Nakala yako bure yatambue na uweze kupambana na Magonjwa Makuu ya Kuku,Tiba na Kinga.KIlicho andaliwa na wataalamu wa Kilimo na Ufugaji.