mda wa kilimo ni sasa!

Kilimo Tanzania – Tovuti Nambari 1!
Hapa ndipo unapopata nyenzo muhimu kama mkulima na mfugaji ili kukuza ujuzi na ustadi wako katika sekta hii ya kilimo na ufugaji. Tembelea nyaraka zetu ili upate maarifa zaidi na uweze kujifunza kwa undani zaidi

KILIMO

Jifunze Kilimo Biashara,Faida na Bei za Masoko

UFUGAJI

Pata Elimu ya Ufugaji wa Kisasa, Magonjwa na Tiba

VITABU

Soma Vitabu vilivo andaliwa na Wataalamu wetu Kupitia Duka la Mtandaoni

NYARAKA TULIZO NAZO

KILIMO BORA CHA BIASHARA

Wewe kama Mkulima inakupasa kupata faida kutokana na Jasho lako na Mbinu mbali mbali unazozitumia katika kilimo, Hali ya Hewa ,zama na Nyakati zimebadilika – Hivyo inabidi kusoma na kutia juhudi ili uweze nufaika na Kilimo unachofanya. Kwa maelezo na kina tumeandika nyaraka hizi kuku saidia.

ufugaji wa kisasa

Uwanja wa Ufugaji ni Mkubwa na hakuna haujuaye yote, Pitia mara kwa mara vitabu na nyaraka zitakazowekwa ili uweze kuwa na elimu endelevu, katika sekta ya Ufugaji

MAGONJWA NA TIBA

Katika swala zima la ufugaji na Kilimo tumeona tujikite pia kweye magonjwa  ambayo yanaweza athiri uzalishaji wetu katika kilimo au Ukuaji na ongezeko la Wanyama na Ndege tunaofuga. Yajua Magonjwa na Tiba hizo kupitia Eneo ili. 

Wasomaji wetu wanasemaje

Uwepo wenu kna Eliu Yenu nimeipenda sana., Lazima nipige Pesa mwaka Huu kwenye Kilimo cha Karoti.

Bahati George

Nashukuru sana,Endeleeni kukaza Buti,Maana Elimu hii tunaipata hapa bure na imenisaidia sana

Alfred Malosha

pata nyaraka mpya hapa

Eneo maalumu utakosoma Nyaraka mpya kwa Uharaka ni Hapa ,Pitia hii

Carrot

KILIMO BORA CHA KAROTI(CARROT)

UTANGULIZI Karoti ni aina ya mboga yenye vyanzo vingi vya calcium, iron na wingi wa vitamin B. Kwa jina la kisayansi inajulikana kama Daucus carota,

Read More »
Kilimo

KILIMO BORA CHA TANGAWIZI

UTANGULIZI Tangawizi ni aina ya zao la kiungo ambalo sehemu inayotumika ni tunguu ( rhizome) ambalo huonekana kama mizizi ya mmea. Kwa jina la kitalamu ni Zingiber

Read More »
Ufugaji

UFUGAJI WA KAMBARE KITAALAMU 2

Katika toleo liliotangulia, tulizungumzia kuhusu utayarishaji wa mabwawa na matangi ya kufugia kambare, muda na kiasi cha mbolea na chokaa kinachohitajika kuongezwa kabla ya kuingiza

Read More »
Ufugaji

Kilimo Bora Cha Alizeti

Alizeti hulimwa kwa wingi katika mikoa ya Shinyanga, Singida, Dodoma, Iringa, Tabora, Morogoro, Ruvuma, Mbeya, Arusha, Manyara, na Rukwa. Zao hili hulimwa kwa ajili ya

Read More »

Pakua: Kitabu cha Magonjwa Ya Kuku 🐔

Pata Nakala yako bure yatambue na uweze kupambana na Magonjwa Makuu ya Kuku,Tiba na Kinga.KIlicho andaliwa na wataalamu wa Kilimo na Ufugaji.

USISITE KUWASILIANA NASI KUPITIA UKURASA HUU