FAHAMU KUHUSU MBUZI BORA WA NYAMA- BOER GOAT

ASILI
Kiasili ni mbuzi wa Afrika ya kusini ingawa ndani yake kuna damu toka baraUlaya na India, hii ndio Mbegu kubwa Zaidi ya mbuzi wa nyama ukilinganisha na wengine. Pia wanazalisha kiwango kikubwa cha maziwa ingawa wanafaa Zaidi kwa nyama.

RANGIWana mwili wenye rangi nyeupa na kichwani wana rangi nyekundu au hudhurungi (brown) ingawa wapo weupe kabisa au wekundu/hudhurungi kabisa na hii hutokea kwa 0.001%

http://www.mshindoveterinarycentre.com/

UMBOWana umbo kubwa kufikia kilo 110-135kwa madumeKilo 90-100 kwa majikeWana masikio yaliyolala kama mbuzi wa kinubi (Nubians)

http://www.mshindoveterinarycentre.com/

UZAZIHuwa wanazaa mapacha na huweza kuzaa mara 2 kwa mwakaMajike ni wazazi na walezi wazuri wa watoto sababu wana maziwa ya kutoshaWatoto hukua haraka sana, na nia aina ya mbuzi ambao sio wakorofi (docile)Kwenye baridi kali au joto kali huwa inawaathiri kwenye kubeba mimba

PITIA
Ujue Muhogo

Jiunge Nasi Telegram

Usipitwe na Nyaraka mpya kila zikiwekwa kwenye Tovuti yetu na weza kujifunza kwa kina ukitumia simu. Jiunge sasa hapa.

KILIMO CHA VITUNGUU SWAUMU – garlic

[vc_row][vc_column][vc_column_text]   Udongo Vitunguu twaumu vinahimili aina nyingi za udongo, ila vinastawi zaidi katika udongo usiotuamisha maji kabisa na wenye mbolea asili, kama mbolea si

Read More »

KILIMO BORA CHA MPUNGA

Mpunga ni zao ambalo hupendwa na watu wengi sana hususani katika bara la Afrika na ni zao la pili kwa uzalishwa kwa wingi sana. Kilimo

Read More »

KILIMO BORA CHA SOYA

Soya ni zao jamii ya mikunde ambayo ina baadhi ya sifa za mbegu zinazozalisha mafuta. Zao la soya lina protini nyingi yenye ubora wa hali ya

Read More »
Udongo

KAZI YA KILIMO TANZANIA.

Watu wengi kwenye vyombo vya habari wanalalamika maranyingi wakiwemo vijana, wazee na watu wa umri wa kati kuwa hakuna kazi. Je, hivi nikweli kuwa hakuna

Read More »

UFAHAMU MFUMO WA KILIMO SHADIDI

Mfumo wa kilimo shadidi cha mpunga (MKiShaMpunga) unaojulikana kwa Kimombo kama ‘Sytem of Rice Intensification’ au ‘SRI’ kwa ufupi unajumuisha mbinu  vumbuzi za kilimo ambazo

Read More »