KILIMO BORA CHA MPUNGA

Mpunga ni zao ambalo hupendwa na watu wengi sana hususani katika bara la Afrika na ni zao la pili kwa uzalishwa kwa wingi sana. Kilimo hiki cha mpunga ni zao la chakula na la biashara.Kilimo hiki hushamiri zaidi katika maeneo yenye maji mengi na mvua ya kutosha.
Kuna mbegu mbalimbali ambazo wakulima wengi huzitumia kama vile;

NJIA YA KUTIBU MBEGU KABLA YA KUPANDA SHAMBANI

Kuna njia kuu tatu

(I) Ni kusafisha mbegu kwa kutumia maji ya uvuguvugu,chukua maji yako uliyopasha moto, weka mbegu zako katika mfuko wa pamba na ingiza mbegu zako ndani ya maji hayo ya uvuguvugu. Baada ya kufanya hivo Toa mbegu zako kwenye mfuko na zianike katika karatasi kavu ili zipoe na kukauka.Kwa kutumia njia inasaidia kuondoa wadudu waliomo ndani ya mbegu.

(ii) Kuloweka mbegu,hii inafanya mbegu ipate unyevunyevu wa kutosha kuchipua,pia kuzuia mbegu kuoza. Wakati wa kuloweka badilisha maji ili kuondoa viini venye simu.

(iii) Kabla ya kuchipua,kausha mbegu na zifunike na jamani kwa masaa 24 had I 48. Inasaidia kuhakikisha kuwa mbegu zinachipua kwa wakati mmoja.

HATUA ZA KUTAYARISHA SHAMBA LA MPUNGA

-Itakuwa vizuri zaidi kulima shamba angalau siku 15 kabla ya kupanda niche au mbegu moja kwa moja. Inasaidia kulinda niche isiharibiwe na wadudu na kuzuia kupotea kwa nitrogeni.

-Matayarisho ya shamba kwa kulima Aisha kwa mkono au ng’ombe au trekta baada ya mvua kunyesha.

-Hatua inayofuata ni kulainisha udongo kwa kupiga piga ili use uji au vipande kidogo.

-Kitendo kinachofuata ni kupanda niche shambani,lakini katika hatua hii kuna wengine huwa haaa wanapanda mbegu moja kwa moja.

PITIA
Tumia Njia Hii Ili Ufanikiwe Katika Kilimo Usihangaike Tena

Hatua ya palizi ya kwanza na ya pili hufanyaka,lazima kung’oa magugu au kupiga sawa ya viua gugu.

-Pia mbolea za kupandia na kukuzia huhusika baada ya kupandikiza miche shambani na matumizi ya dawa za wadudu pia hutumika kama kuna uhitaji.

-Unashauriwa kuvuna kwa kukata masuke,kupiga masuke kupata mpunga.

NJIA ZA KUPANDIKIZA MBEGU

kuna njia mbili ambazo wakulima hutumia kupanda mbegu za MPUNGA shambani

(i) Kuondoa miche kwenye kitabu na kuipanda shambani Mara tu inapofikia hatua ya kupanda. Niche hii itakuwa tayari kati ya wiki tatu hadi nne tangu kuotesha.

(ii) Kupanda mbegu moja kwa mojanjia hii inatumiwa na wakulima wengi kwa muda mrefu ambapo mbegu za MPUNGA hutawanywa shambani moja kwa moja.Hivyo njia husababisha uzalishaji kupungua na shamba kuwa magugu mengi.

WADUDU WAHARIBIFU KWENYE KILIMO CHA MPUNGA

Uharibifu wa mpunga hutokana na vijidudu,mimea au wadudu ambayo wanauwezo wa kushusha kiwango cha uzalishaji wa mmea. Wapo wadudu wengi sana wanaoathiri mpunga katika ukuaji wa hatua mbalimbali.Wadudu hao ni kama, mafunzo (stemborers),African rice gall midgeAFRGM, na Orseolia oryzyvora. Wadudu hawa wamekuwa tishio sana katika zako hili la MPUNGA.

UVUNAJI

MPUNGA kuchukua Kati ya miezi minne (4) hadi sita (6) kutokana na aina ya mbegu uliyotumia baada ya kupanda mpaka wakati wa kukomaa.

Jiunge Nasi Telegram

Usipitwe na Nyaraka mpya kila zikiwekwa kwenye Tovuti yetu na weza kujifunza kwa kina ukitumia simu. Jiunge sasa hapa.

Kilimo cha Kabichi

Unaweza kulima kabichi msimu wote wa mwaka. Soko lake ni la uhakika katika kipindi chote na ni muhimu kwa afya. Pia, linaweza kutumika kama malisho

Read More »

Kilimo Cha Zao La Choroko

Choroko ni zao la chakula na biashara lenye kiasi kikubwa cha protini na madini ya phosphorus na calicium.Zao hili likilimwa vizuri hutoa mavuno kati ya

Read More »

UFAHAMU MFUMO WA KILIMO SHADIDI

Mfumo wa kilimo shadidi cha mpunga (MKiShaMpunga) unaojulikana kwa Kimombo kama ‘Sytem of Rice Intensification’ au ‘SRI’ kwa ufupi unajumuisha mbinu  vumbuzi za kilimo ambazo

Read More »