TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI -kuidhinishwa matumizi ya aina mpya za mbegu za mazao

Kamati ya Taifa ya kupitisha Mbegu mpya (National Variety Release Committee-NVRC)
imepitisha matumizi ya aina 25 ya mbegu mpya za mazao mbalimbali ya kilimo. Mazao
hayo ni: Aina 3 za mahindi, 9 za maharage, 1 Mpunga, 3 Karanga, 2 Njugumawe, 2
Pamba, na aina 5 za Tumbaku. Hatua hiyo ya Kamati inalenga kuongeza uzalishaji na
tija, pamoja na kuinua kipato cha mkulima.
Pamoja na aina hizo 25 za Mbegu mpya za mazao mbalimbali zilizopitishwa, aina mbili
za Mbegu (Pamba na Mpunga) hazikupitishwa kwani hazikukidhi vigezo vya kisayansi.
Kupitishwa kwa aina hizo mpya za mbegu kunatokana na mapendekezo yaliyofanywa
na Kamati ya Taifa ya Kitaalamu ya Kuhakiki aina Mpya za Mbegu za Mazao (The
National Performance Trial Technical Committee), iliyofana vikao vyake tarehe 19-20
Oktoba, 2017 na 19 Januari, 2018 katika Kituo cha Utafiti wa Miwa Kibaha (SRI-Kibaha)
Aidha mbegu hizo mpya zimepitishwa baada ya kufanyiwa utafiti wa kina na
kugundulika kuwa zina sifa mbalimbali kama vile; kutoa mavuno mengi, ukinzani dhidi
ya magonjwa, kukomaa mapema na kupendwa na wakulima pamoja na walaji.
Mbegu hizi zimefanyiwa utafiti na vituo vya utafiti vya Umma na sekta binafsi hapa
nchini. Taasisi za utafiti za umma zimeongoza kwa kutoa jumla ya aina 17 za Mbegu

download PRESS_RELEASE.pdf

PITIA
Hizi ndizo Mbegu Bora za Mahindi

Jiunge Nasi Telegram

Usipitwe na Nyaraka mpya kila zikiwekwa kwenye Tovuti yetu na weza kujifunza kwa kina ukitumia simu. Jiunge sasa hapa.

KILIMO BORA CHA VIAZI MVIRINGO

                                               UTANGULIZI Viazi mviringo ni zao muhimu la chakula na biashara katika nchi nyingi zinazoendelea. viazi husitawi vizuri sehemu zenye miinuko kati ya mita

Read More »

Kilimo cha Tangawizi

Kilimo cha tangawizi kimekuwa kikiwapa unafuu wakulima wa sehemu nyingi hapa nchini hasa katika mkoa wa Kilimanjaro katika wilaya ya same Tukisema kuna mikoa iliyo

Read More »

Kilimo Safi cha Mahindi

MAHINDI ni nafaka ambayo ni chakula muhimu sana na huzalishwa na kutumika kwa wingi katika mataifa ya Afrika yaliyomo kusini mwa jangwa la Sahara. Ni

Read More »

KILIMO BORA CHA VIAZI MVIRINGO

UTANGULIZI Viazi mviringo ni zao muhimu la chakula na biashara katika nchi nyingi zinazoendelea. viazi husitawi vizuri sehemu zenye miinuko kati ya mita 1300 hadi

Read More »

UFAHAMU MFUMO WA KILIMO SHADIDI

Mfumo wa kilimo shadidi cha mpunga (MKiShaMpunga) unaojulikana kwa Kimombo kama ‘Sytem of Rice Intensification’ au ‘SRI’ kwa ufupi unajumuisha mbinu  vumbuzi za kilimo ambazo

Read More »