Nyanya
Nyanya zinahitaji matunzo ili upate mavuno
[vc_row][vc_column][vc_column_text] Mkulima atapata faida kubwa ikiwa atatunza zao la nyanya kwa uangalifu mkubwa. Nyanya huzaa vizuri sana hasa zinapowekewa mbolea mboji au samadi iliyooza vizuri.