Umuhimu wa kitunguu swaumu katika kutibu magonjwa ya kuku

Kitunguu swaumu pamoja kuwa ni dawa ambazo humsaidia mwanadamu kuweza kutibu magonjwa mbalimbali lakini kinatajwa kuweza kutibu magonjwa mbalimbali ya wanyama wengine ikiwemo kuku.

Zipo dawa tofauti za asili zinazopatikana kirahisi kwenye mazingira ya vijijini  na mjini ambazo zina uwezo wa kutibu magonjwa ya kuku. Katika mada hii tataelezea jinsi  kitunguu swaumu kinavyoweza ugonjwa wa Homa ya Matumbo “Fowl Typhoid”  katika ufugaji wa kuku.

Namna ya kuandaa dawa hii.

Chukua robo kilo ya vitunguu swaumu

Toa maganda.

Kisha twanga

Changanya na maji kiasi cha lita moja

Chuja na kuwapa maji yake  kuku wako kwa muda wa juma moja.

PITIA
KILIMO CHA VITUNGUU SWAUMU - garlic

Jiunge Nasi Telegram

Usipitwe na Nyaraka mpya kila zikiwekwa kwenye Tovuti yetu na weza kujifunza kwa kina ukitumia simu. Jiunge sasa hapa.

KILIMO BORA CHA BAMIA

UTANGULIZI Bamia ni zao la mbogamboga linalolimwa sana sehemu za joto, kwa lugha ya kigeni inaitwa Okra. Zao hili hutumika kama mboga inayoliwa matunda yanayotokana

Read More »

Kilimo cha Tangawizi

UTANGULIZI Tangawizi ni aina ya zao la kiungo ambalo sehemu inayotumika ni tunguu ( rhizome) ambalo huonekana kama mizizi ya mmea. Kwa jina la kitalamu

Read More »

MISINGI YA KILIMO BORA CHA BINZARI

na la kitalaam ni Curcuma domestica au Curcuma longa na kwa kiingereza niturmeric. Zao hili asili yake ni Mashariki ya Mbali, na linalimwa zaidi katika mkoa wa Tanga, Kagera,

Read More »

Kilimo bora cha nyanya -Tz

Utangulizi Nyanya ni zao la mboga linalolimwa sehemu nyingi duniani kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na pia kama zao la biashara. Nyanya ni aina

Read More »

UFAHAMU MFUMO WA KILIMO SHADIDI

Mfumo wa kilimo shadidi cha mpunga (MKiShaMpunga) unaojulikana kwa Kimombo kama ‘Sytem of Rice Intensification’ au ‘SRI’ kwa ufupi unajumuisha mbinu  vumbuzi za kilimo ambazo

Read More »